Rose Muhando – Nibebe

 

Nibebe nibebe nibebe nibebe

Nibembeleze nibebe, eh Yesu unibebe

Nichukue unibebe

Mikononi mwako niwe salama

Nibebe nibebe nibebe nibebe

Nibembeleze nibebe, eh Yesu unibebe

Nichukue unibebe

Mikononi mwako niwe salama

E mungu angalia kunena kwangu,

Na usikie sauti ya kilio changu

Moyo wangu umechoka sana baba,

Kwa ajili ya wingi wa mateso yangu

Nafsi yangu imegandamana na mavumbi

Niokoe mikononi mwa midomo ya mbwa

Kwanini ninateswa sana kwa ajili yako babaga

Niokoe mikononi mwa watu wabaya

fanya hima unisaidie nibebe

Nibebe nibebe nibebe nibebe

Nibembeleze nibebe, eh Yesu unibebe

Nichukue unibebe

Mikononi mwako niwe salama

Nimechoka peke yangu

Safari ngumu no ndefu nibebe

Nibebe nibebe nibebe nibebe

Nibembeleze nibebe, eh Yesu unibebe

Nichukue unibebe

Mikononi mwako niwe salama

Macho yangu yamedhoofukwa machozi

Kwani mateso yangu hayapimiki kwa mizani

Kwa kuwa aliyenitukana siye adui yangu

bali ni rafiki yangu tuliyejuana naye sana

Tulikula pamoja, tulisali pamoja, kanisani pamoja

Bwana asifiwe kwa sana

Kumbe mwenzangu alikusudia kuniangamiza

Nibebe nibebe nibebe nibebe

Nibembeleze nibebe, eh Yesu unibebe

Nichukue unibebe

Mikononi mwako niwe salama

Kweli nimeamini adui wa kwanza ni yule wa nyumbani
mwako

Nibebe nibebe nibebe nibebe

Nibembeleze nibebe, eh Yesu unibebe

Nichukue unibebe

Mikononi mwako niwe salama

Hata nliowasaidia nao wamenishuhudia uongo

Nibebe nibebe nibebe nibebe

Nibembeleze nibebe, eh Yesu unibebe

Nichukue unibebe

Mikononi mwako niwe salama

Wengine wakinibeba nitaambulia matatizo, yesu
nibebe

Dunia ikinibeba itanipeleka jehanamu, yesu nibebe

Marafiki wakinibeba watanipeleka pabaya, yesu
nibebe

Baba nibebe, yesu nibebe,

Nibembeleze nibebe, nichukue mbinguni salama

Nibebe nibebe nibebe nibebe

Nibembeleze nibebe, eh Yesu unibebe

Nichukue unibebe

Mikononi mwako niwe salama

Nimechoka pekee yangu safari ngumu siwezi

Nibebe nibebe nibebe nibebe

Nibembeleze nibebe, eh Yesu unibebe

Nichukue unibebe

Mikononi mwako niwe salama

Nifike mbinguni nimwone Eliya (Amen)

Nifike mbinguni nimwone Yakobo (Amen)

Pamoja na kiti cha enzi mbinguni kwa baba(Amen)

Kwa njia za dhahabu nami nakatembelee(Amen)

O baba nibebe, yesu nibebe,

Nibembeleze nibebe, nichukue mbinguni salama

Nibebe nibebe nibebe nibebe

Nibembeleze nibebe, eh Yesu unibebe

Nichukue unibebe

Mikononi mwako niwe salama

Nakwita Yesu unibebe mwokozi

Nibebe nibebe nibebe nibebe

Nibembeleze nibebe, eh Yesu unibebe

Nichukue unibebe

Mikononi mwako niwe salama

Nifike mbinguni nikamwone baba (Amen)

Nifike mbinguni nakapumzike (Amen)

Katika kiti cha enzi nami nikasujudie (Amen)

Niwaone wenzangu wale walionitangulia (Amen)

Nikale matunda ya mti wa uzima (Amen)

Yesu nibebe, baba nibebe,

Nibembeleze nibebe nichukue mbiguni salama

Nibebe nibebe nibebe nibebe

Nibembeleze nibebe, eh Yesu unibebe

Nichukue unibebe

Mikononi mwako niwe salama

Nimechoka pekee yangu dunia ngumu pekee yangu
siwezi

Nibebe nibebe nibebe nibebe

Nibembeleze nibebe, eh Yesu unibebe

Nichukue unibebe

Mikononi mwako niwe salama

Nimechoka pekee yangu safari ngumu ni ndefu siwezi

Nibebe nibebe nibebe nibebe

Nibembeleze nibebe, eh Yesu unibebe

Nichukue unibebe

Mikononi mwako niwe salama

Nibebe nibebe nibebe nibebe

Nibembeleze nibebe, eh Yesu unibebe

Nichukue unibebe

Mikononi mwako niwe salama

Deja un comentario

Tu dirección de correo electrónico no será publicada. Los campos obligatorios están marcados con *

Scroll al inicio