Rose Muhando - Nibebe

 


Nibebe nibebe nibebe nibebe
Nibembeleze nibebe, eh Yesu unibebe
Nichukue unibebe
Mikononi mwako niwe salama

Nibebe nibebe nibebe nibebe
Nibembeleze nibebe, eh Yesu unibebe
Nichukue unibebe
Mikononi mwako niwe salama

E mungu angalia kunena kwangu,
Na usikie sauti ya kilio changu
Moyo wangu umechoka sana baba,
Kwa ajili ya wingi wa mateso yangu
Nafsi yangu imegandamana na mavumbi
Niokoe mikononi mwa midomo ya mbwa
Kwanini ninateswa sana kwa ajili yako babaga
Niokoe mikononi mwa watu wabaya
fanya hima unisaidie nibebe

Nibebe nibebe nibebe nibebe
Nibembeleze nibebe, eh Yesu unibebe
Nichukue unibebe
Mikononi mwako niwe salama
Nimechoka peke yangu
Safari ngumu no ndefu nibebe

Nibebe nibebe nibebe nibebe
Nibembeleze nibebe, eh Yesu unibebe
Nichukue unibebe
Mikononi mwako niwe salama

Macho yangu yamedhoofukwa machozi
Kwani mateso yangu hayapimiki kwa mizani
Kwa kuwa aliyenitukana siye adui yangu
bali ni rafiki yangu tuliyejuana naye sana
Tulikula pamoja, tulisali pamoja, kanisani pamoja
Bwana asifiwe kwa sana
Kumbe mwenzangu alikusudia kuniangamiza

Nibebe nibebe nibebe nibebe
Nibembeleze nibebe, eh Yesu unibebe
Nichukue unibebe
Mikononi mwako niwe salama

Kweli nimeamini adui wa kwanza ni yule wa nyumbani mwako

Nibebe nibebe nibebe nibebe
Nibembeleze nibebe, eh Yesu unibebe
Nichukue unibebe
Mikononi mwako niwe salama

Hata nliowasaidia nao wamenishuhudia uongo

Nibebe nibebe nibebe nibebe
Nibembeleze nibebe, eh Yesu unibebe
Nichukue unibebe
Mikononi mwako niwe salama

Wengine wakinibeba nitaambulia matatizo, yesu nibebe
Dunia ikinibeba itanipeleka jehanamu, yesu nibebe
Marafiki wakinibeba watanipeleka pabaya, yesu nibebe
Baba nibebe, yesu nibebe,
Nibembeleze nibebe, nichukue mbinguni salama

Nibebe nibebe nibebe nibebe
Nibembeleze nibebe, eh Yesu unibebe
Nichukue unibebe
Mikononi mwako niwe salama

Nimechoka pekee yangu safari ngumu siwezi

Nibebe nibebe nibebe nibebe
Nibembeleze nibebe, eh Yesu unibebe
Nichukue unibebe
Mikononi mwako niwe salama

Nifike mbinguni nimwone Eliya (Amen)
Nifike mbinguni nimwone Yakobo (Amen)
Pamoja na kiti cha enzi mbinguni kwa baba(Amen)
Kwa njia za dhahabu nami nakatembelee(Amen)
O baba nibebe, yesu nibebe,
Nibembeleze nibebe, nichukue mbinguni salama

Nibebe nibebe nibebe nibebe
Nibembeleze nibebe, eh Yesu unibebe
Nichukue unibebe
Mikononi mwako niwe salama

Nakwita Yesu unibebe mwokozi

Nibebe nibebe nibebe nibebe
Nibembeleze nibebe, eh Yesu unibebe
Nichukue unibebe
Mikononi mwako niwe salama

Nifike mbinguni nikamwone baba (Amen)
Nifike mbinguni nakapumzike (Amen)
Katika kiti cha enzi nami nikasujudie (Amen)
Niwaone wenzangu wale walionitangulia (Amen)
Nikale matunda ya mti wa uzima (Amen)
Yesu nibebe, baba nibebe,
Nibembeleze nibebe nichukue mbiguni salama

Nibebe nibebe nibebe nibebe
Nibembeleze nibebe, eh Yesu unibebe
Nichukue unibebe
Mikononi mwako niwe salama

Nimechoka pekee yangu dunia ngumu pekee yangu siwezi

Nibebe nibebe nibebe nibebe
Nibembeleze nibebe, eh Yesu unibebe
Nichukue unibebe
Mikononi mwako niwe salama

Nimechoka pekee yangu safari ngumu ni ndefu siwezi

Nibebe nibebe nibebe nibebe
Nibembeleze nibebe, eh Yesu unibebe
Nichukue unibebe
Mikononi mwako niwe salama

Nibebe nibebe nibebe nibebe
Nibembeleze nibebe, eh Yesu unibebe
Nichukue unibebe
Mikononi mwako niwe salama


Enregistrer un commentaire

0 Commentaires

Uso cookies para darte un mejor servicio.
Mi sitio web utiliza cookies para mejorar tu experiencia. Acepto Leer más